Methali 29:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mtu anayependa hekima humfanya baba yake ashangilie,+ lakini yeye anayeshirikiana na makahaba huharibu vitu vyenye thamani.+ Luka 15:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Naye alikuwa akitamani kujishibisha kwa maganda ya karuba ambayo nguruwe hao walikuwa wakila, wala hakuna mtu yeyote aliyekuwa akimpa kitu chochote.+ Luka 15:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Lakini mara tu alipofika huyu mwana wako+ aliyekula pamoja na makahaba+ mali yako, ulimchinjia ng’ombe-dume mchanga aliyenoneshwa.’+
3 Mtu anayependa hekima humfanya baba yake ashangilie,+ lakini yeye anayeshirikiana na makahaba huharibu vitu vyenye thamani.+
16 Naye alikuwa akitamani kujishibisha kwa maganda ya karuba ambayo nguruwe hao walikuwa wakila, wala hakuna mtu yeyote aliyekuwa akimpa kitu chochote.+
30 Lakini mara tu alipofika huyu mwana wako+ aliyekula pamoja na makahaba+ mali yako, ulimchinjia ng’ombe-dume mchanga aliyenoneshwa.’+