Zaburi 25:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Sasa, ni nani anayemwogopa Yehova?+Atamfundisha katika njia ambayo yeye ataichagua.+ Methali 21:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa kumtoza mwenye dhihaka, asiye na uzoefu huwa mwenye hekima;+ na kwa kumpa mtu mwenye hekima ufahamu, yeye hupata ujuzi.+
11 Kwa kumtoza mwenye dhihaka, asiye na uzoefu huwa mwenye hekima;+ na kwa kumpa mtu mwenye hekima ufahamu, yeye hupata ujuzi.+