Methali 12:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kuna mtu anayesema bila kufikiri kama kwa upanga unaochoma,+ lakini ulimi wa mwenye hekima huponya.+ Methali 16:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Midomo ya uadilifu ni furaha ya mfalme mkuu;+ naye humpenda mtu anayesema mambo ya unyoofu.+ Mathayo 12:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Mtu mwema hutoa mambo mema kutoka katika hazina yake njema,+ lakini mtu mwovu hutoa mambo mabaya kutoka katika hazina yake mbaya.+
18 Kuna mtu anayesema bila kufikiri kama kwa upanga unaochoma,+ lakini ulimi wa mwenye hekima huponya.+
35 Mtu mwema hutoa mambo mema kutoka katika hazina yake njema,+ lakini mtu mwovu hutoa mambo mabaya kutoka katika hazina yake mbaya.+