Zaburi 15:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Pesa zake hakutoa ili apate faida,+Wala hakuchukua rushwa dhidi ya mtu asiye na hatia.+Yeye anayefanya mambo hayo hatatikiswa.+ Mathayo 7:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 “Kwa hiyo kila mtu anayesikia maneno yangu haya na kuyatenda atafananishwa na mtu mwenye busara, aliyejenga nyumba yake juu ya mwamba.+ 1 Timotheo 6:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 wakijiwekea wenyewe kwa usalama hazina+ ya msingi mzuri+ kwa ajili ya wakati ujao, ili waushike imara uzima ulio wa kweli.+
5 Pesa zake hakutoa ili apate faida,+Wala hakuchukua rushwa dhidi ya mtu asiye na hatia.+Yeye anayefanya mambo hayo hatatikiswa.+
24 “Kwa hiyo kila mtu anayesikia maneno yangu haya na kuyatenda atafananishwa na mtu mwenye busara, aliyejenga nyumba yake juu ya mwamba.+
19 wakijiwekea wenyewe kwa usalama hazina+ ya msingi mzuri+ kwa ajili ya wakati ujao, ili waushike imara uzima ulio wa kweli.+