Methali 6:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 shahidi wa uwongo anayesema uwongo,+ na yeyote anayetokeza magomvi kati ya ndugu.+ Methali 14:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Shahidi mwaminifu ni yule ambaye hatasema uwongo,+ lakini shahidi wa uwongo husema uwongo mtupu.+ Mathayo 26:59 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 59 Wakati huohuo wakuu wa makuhani na Sanhedrini nzima walikuwa wakitafuta ushahidi wa uwongo juu ya Yesu ili wamuue,+
59 Wakati huohuo wakuu wa makuhani na Sanhedrini nzima walikuwa wakitafuta ushahidi wa uwongo juu ya Yesu ili wamuue,+