Methali 14:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Shahidi mwaminifu ni yule ambaye hatasema uwongo,+ lakini shahidi wa uwongo husema uwongo mtupu.+ 1 Timotheo 4:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 kwa unafiki wa watu wanaosema uwongo,+ waliotiwa alama katika dhamiri+ zao kama kwa chuma cha kutilia alama; 2 Timotheo 2:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Watu hao wamegeuka kutoka kwenye kweli,+ wakisema kwamba ufufuo tayari umetukia;+ nao wanaipindua imani ya wengine.+
2 kwa unafiki wa watu wanaosema uwongo,+ waliotiwa alama katika dhamiri+ zao kama kwa chuma cha kutilia alama;
18 Watu hao wamegeuka kutoka kwenye kweli,+ wakisema kwamba ufufuo tayari umetukia;+ nao wanaipindua imani ya wengine.+