Methali 18:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kutokana na matunda ya kinywa cha mtu, tumbo lake litashiba;+ atashiba hata mazao ya midomo yake.+ Mhubiri 6:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kazi yote iliyo ngumu ya wanadamu hufanywa kwa ajili ya kinywa chao,+ lakini hata nafsi yao haishibi.
20 Kutokana na matunda ya kinywa cha mtu, tumbo lake litashiba;+ atashiba hata mazao ya midomo yake.+
7 Kazi yote iliyo ngumu ya wanadamu hufanywa kwa ajili ya kinywa chao,+ lakini hata nafsi yao haishibi.