Methali 12:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kutokana na matunda ya kinywa cha mtu, yeye hushiba mema,+ na kazi yenyewe ya mikono ya mtu itamrudia.+ Methali 16:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Anayetumia ufahamu katika jambo atapata mema,+ naye anayemtegemea Yehova+ ni mwenye furaha. Methali 16:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Nafsi ya mfanyakazi mwenye bidii imemfanyia kazi kwa bidii,+ kwa sababu kinywa chake kimemkaza sana.+
14 Kutokana na matunda ya kinywa cha mtu, yeye hushiba mema,+ na kazi yenyewe ya mikono ya mtu itamrudia.+
26 Nafsi ya mfanyakazi mwenye bidii imemfanyia kazi kwa bidii,+ kwa sababu kinywa chake kimemkaza sana.+