16 Na sasa itajulikana jinsi gani kwamba nimepata kibali machoni pako, mimi na watu wako? Je, si kwa wewe kwenda pamoja nasi,+ kwa kuwa mimi na watu wako tumefanywa tofauti na watu wengine wote walio juu ya uso wa nchi?”+
25 bila kuacha kukusanyika pamoja sisi wenyewe,+ kama vile wengine walivyo na desturi, bali tutiane moyo,+ na kufanya hivyo zaidi kwa kadiri mnavyoona siku ile kuwa inakaribia.+