Zaburi 141:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Uniweke mbali na mikono ya mtego ambao wamenitegea+Na mbali na minaso ya wale wanaofanya mambo yenye kuumiza.+ Zaburi 142:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Usikilize kilio changu cha kusihi,+Kwa maana nimekuwa maskini sana.+Unikomboe kutoka kwa watesaji wangu,+Kwa maana wana nguvu kuliko mimi.+ Waroma 8:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Basi tunajua kwamba Mungu hufanya kazi+ zake zote zishirikiane pamoja kwa ajili ya mema ya wale wanaompenda Mungu, wale ambao wameitwa kulingana na kusudi lake;+
9 Uniweke mbali na mikono ya mtego ambao wamenitegea+Na mbali na minaso ya wale wanaofanya mambo yenye kuumiza.+
6 Usikilize kilio changu cha kusihi,+Kwa maana nimekuwa maskini sana.+Unikomboe kutoka kwa watesaji wangu,+Kwa maana wana nguvu kuliko mimi.+
28 Basi tunajua kwamba Mungu hufanya kazi+ zake zote zishirikiane pamoja kwa ajili ya mema ya wale wanaompenda Mungu, wale ambao wameitwa kulingana na kusudi lake;+