Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 2:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Na Yehova Mungu akaendelea kusema: “Si vema huyo mwanamume aendelee kuwa peke yake. Nitamfanyia msaidizi, awe kikamilisho chake.”+

  • 1 Samweli 23:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Sasa Yonathani mwana wa Sauli akasimama, akaenda kwa Daudi kule Horeshi, ili autie nguvu+ mkono wake kuhusiana na Mungu.+

  • Methali 27:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Chuma hunolewa kwa chuma. Ndivyo mtu anavyounoa uso wa mwingine.+

  • Matendo 13:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Walipokuwa wakimhudumia+ Yehova hadharani na kufunga, roho takatifu ikasema: “Kati ya watu wote wekeni kando Barnaba na Sauli+ kwa ajili yangu kwa kazi ambayo nimewaitia wao.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki