1 Samweli 23:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Sasa Yonathani mwana wa Sauli akasimama, akaenda kwa Daudi kule Horeshi, ili autie nguvu+ mkono wake kuhusiana na Mungu.+ Methali 5:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mwanangu, sikiliza hekima yangu.+ Tega sikio usikie utambuzi wangu,+ Waebrania 10:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Na acheni tufikiriane ili kuchocheana+ katika upendo na matendo mazuri,+ Waebrania 12:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa hiyo inyoosheni mikono inayolegea+ na magoti yaliyo dhaifu,+
16 Sasa Yonathani mwana wa Sauli akasimama, akaenda kwa Daudi kule Horeshi, ili autie nguvu+ mkono wake kuhusiana na Mungu.+