2 Samweli 7:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na sasa utamwambia Daudi mtumishi wangu hivi, ‘Yehova wa majeshi amesema hivi: “Mimi mwenyewe nilikuchukua kutoka katika viwanja vya malisho ili uache kufuata kundi+ na uwe kiongozi+ juu ya watu wangu Israeli. Ayubu 5:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwake Yeye anayewaweka mahali pa juu wale walio chini,+Hivi kwamba wale walio na huzuni wanakuwa juu katika wokovu; Zaburi 113:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ili kumketisha pamoja na wenye vyeo,+Wenye vyeo kati ya watu wake.+
8 Na sasa utamwambia Daudi mtumishi wangu hivi, ‘Yehova wa majeshi amesema hivi: “Mimi mwenyewe nilikuchukua kutoka katika viwanja vya malisho ili uache kufuata kundi+ na uwe kiongozi+ juu ya watu wangu Israeli.
11 Kwake Yeye anayewaweka mahali pa juu wale walio chini,+Hivi kwamba wale walio na huzuni wanakuwa juu katika wokovu; Zaburi 113:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ili kumketisha pamoja na wenye vyeo,+Wenye vyeo kati ya watu wake.+