Ayubu 3:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa nini sikufa tokea tumbo la uzazi?+Kwa nini sikutoka tumboni kisha nikate pumzi? Zaburi 58:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Anatembea kama konokono anayeyeyuka;Kama mimba ya mwanamke iliyoharibika hakika hawataliona jua.+