Ayubu 30:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Kwa maana najua vema kwamba utanirudisha kwenye kifo,+Na kwenye nyumba ya kukutania ya kila mtu aliye hai. Mhubiri 3:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Wote wanaenda mahali pamoja.+ Wote wametoka katika mavumbi,+ nao wote wanarudi mavumbini.+ Ezekieli 18:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Tazama! Nafsi zote—ni zangu.+ Kama ilivyo nafsi+ ya baba ndivyo ilivyo nafsi ya mwana—ni zangu.+ Nafsi inayotenda dhambi+—hiyo yenyewe itakufa.+ Waroma 5:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Hiyo ndiyo sababu, kama vile kupitia mtu mmoja+ dhambi iliingia katika ulimwengu na kifo+ kupitia dhambi, na hivyo kifo kikaenea kwa watu wote kwa sababu wote walikuwa wamefanya dhambi+—.
23 Kwa maana najua vema kwamba utanirudisha kwenye kifo,+Na kwenye nyumba ya kukutania ya kila mtu aliye hai.
4 Tazama! Nafsi zote—ni zangu.+ Kama ilivyo nafsi+ ya baba ndivyo ilivyo nafsi ya mwana—ni zangu.+ Nafsi inayotenda dhambi+—hiyo yenyewe itakufa.+
12 Hiyo ndiyo sababu, kama vile kupitia mtu mmoja+ dhambi iliingia katika ulimwengu na kifo+ kupitia dhambi, na hivyo kifo kikaenea kwa watu wote kwa sababu wote walikuwa wamefanya dhambi+—.