Waroma 5:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Na si hilo tu, bali na tufurahi tukiwa katika dhiki,+ kwa kuwa tunajua kwamba dhiki hutokeza uvumilivu;+ 2 Wakorintho 4:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa maana ingawa dhiki ni ya dakika na ni nyepesi,+ hiyo inatufanyizia utukufu wenye uzito mkubwa zaidi na zaidi na ni wa milele;+ 2 Wakorintho 7:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana huzuni kwa njia ya kimungu hutokeza toba kuelekea wokovu na haipasi kujuta;+ lakini huzuni ya ulimwengu hutokeza kifo.+ Waebrania 12:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ni kweli, hakuna nidhamu inayoonekana kwa sasa kuwa yenye shangwe, bali ni yenye kuhuzunisha;+ lakini baadaye kwa wale ambao wamezoezwa nayo hiyo huzaa tunda lenye kufanya amani,+ yaani, uadilifu.+
3 Na si hilo tu, bali na tufurahi tukiwa katika dhiki,+ kwa kuwa tunajua kwamba dhiki hutokeza uvumilivu;+
17 Kwa maana ingawa dhiki ni ya dakika na ni nyepesi,+ hiyo inatufanyizia utukufu wenye uzito mkubwa zaidi na zaidi na ni wa milele;+
10 Kwa maana huzuni kwa njia ya kimungu hutokeza toba kuelekea wokovu na haipasi kujuta;+ lakini huzuni ya ulimwengu hutokeza kifo.+
11 Ni kweli, hakuna nidhamu inayoonekana kwa sasa kuwa yenye shangwe, bali ni yenye kuhuzunisha;+ lakini baadaye kwa wale ambao wamezoezwa nayo hiyo huzaa tunda lenye kufanya amani,+ yaani, uadilifu.+