1 Wafalme 11:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Naye akamwambia Yeroboamu: “Chukua wewe vipande kumi; kwa maana Yehova Mungu wa Israeli amesema hivi, ‘Tazama, ninaurarua ufalme kutoka mkononi mwa Sulemani, nami hakika nitakupa wewe makabila kumi.+ 1 Wafalme 11:42 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 42 Na siku ambazo Sulemani alitawala katika Yerusalemu juu ya Israeli yote zilikuwa miaka 40.+ Mhubiri 1:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 1 Maneno ya mkutanishaji,+ mwana wa Daudi, mfalme katika Yerusalemu.+
31 Naye akamwambia Yeroboamu: “Chukua wewe vipande kumi; kwa maana Yehova Mungu wa Israeli amesema hivi, ‘Tazama, ninaurarua ufalme kutoka mkononi mwa Sulemani, nami hakika nitakupa wewe makabila kumi.+