Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 8:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Wakati huo Sulemani+ akaanza kuwakusanya+ wanaume wazee+ wa Israeli, vichwa vyote vya makabila,+ wakuu wa baba,+ wa wana wa Israeli, waende kwa Mfalme Sulemani katika Yerusalemu, ili kulileta sanduku la agano+ la Yehova kutoka katika Jiji la Daudi,+ yaani, Sayuni.+

  • 1 Wafalme 8:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Na Sulemani akaanza kusimama mbele ya madhabahu+ ya Yehova mbele ya kutaniko lote la Israeli, naye sasa akanyoosha mikono yake kuelekea mbinguni;+

  • 2 Mambo ya Nyakati 5:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Ndipo Sulemani akaanza kuwakusanya katika Yerusalemu wanaume wazee wa Israeli+ na vichwa vyote vya makabila,+ wakuu wa nyumba za ukoo wa upande wa baba+ za wana wa Israeli, ili kulileta sanduku+ la agano la Yehova kutoka+ katika Jiji la Daudi,+ yaani, Sayuni.+

  • Mhubiri 12:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Mkutanishaji alijitahidi kutafuta maneno yenye kupendeza+ na kuandika maneno sahihi ya kweli.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki