Luka 9:54 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 54 Wanafunzi Yakobo na Yohana+ walipoona hilo wakasema: “Bwana, je, unataka tuuambie moto+ ushuke kutoka mbinguni na kuwaangamiza?” Yakobo 3:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa maana sisi sote hujikwaa mara nyingi.+ Ikiwa yeyote hajikwai katika neno,+ huyo ni mtu mkamilifu,+ anayeweza kuuongoza kwa lijamu mwili wake wote pia. Yakobo 3:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa huo sisi humbariki Yehova,+ naam, Baba,+ na bado kwa huo sisi huwalaani+ wanadamu ambao wamekuja kuwako “kwa mfano wa Mungu.”+
54 Wanafunzi Yakobo na Yohana+ walipoona hilo wakasema: “Bwana, je, unataka tuuambie moto+ ushuke kutoka mbinguni na kuwaangamiza?”
2 Kwa maana sisi sote hujikwaa mara nyingi.+ Ikiwa yeyote hajikwai katika neno,+ huyo ni mtu mkamilifu,+ anayeweza kuuongoza kwa lijamu mwili wake wote pia.
9 Kwa huo sisi humbariki Yehova,+ naam, Baba,+ na bado kwa huo sisi huwalaani+ wanadamu ambao wamekuja kuwako “kwa mfano wa Mungu.”+