Mhubiri 1:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Nami nikakusudia moyoni mwangu kutafuta na kuchunguza jinsi hekima+ inavyohusiana na kila jambo ambalo limefanywa chini ya mbingu—shughuli yenye msiba ambayo Mungu amewapa wana wa binadamu wajishughulishe nayo.+
13 Nami nikakusudia moyoni mwangu kutafuta na kuchunguza jinsi hekima+ inavyohusiana na kila jambo ambalo limefanywa chini ya mbingu—shughuli yenye msiba ambayo Mungu amewapa wana wa binadamu wajishughulishe nayo.+