25 Mimi mwenyewe niligeuka, hata moyo wangu ukageuka,+ nipate kujua na kuchunguza na kutafuta hekima+ na sababu ya mambo,+ na kujua juu ya uovu wa ujinga na upumbavu wa wazimu;+
16 Kupatana na hayo, niliutia moyo wangu+ kujua hekima na kuona shughuli inayofanywa duniani,+ kwa sababu kuna mtu ambaye macho yake hayapati usingizi, mchana wala usiku.+