Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 4:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Na hekima ya Sulemani ilikuwa pana+ zaidi kuliko hekima ya watu wengine wote wa Mashariki+ na kuliko hekima yote ya Misri.+

  • Methali 2:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 ili kwa sikio lako usikilize hekima kwa makini,+ ili uelekeze moyo wako kwenye utambuzi,+

  • Mhubiri 7:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Mimi mwenyewe niligeuka, hata moyo wangu ukageuka,+ nipate kujua na kuchunguza na kutafuta hekima+ na sababu ya mambo,+ na kujua juu ya uovu wa ujinga na upumbavu wa wazimu;+

  • Mhubiri 8:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kupatana na hayo, niliutia moyo wangu+ kujua hekima na kuona shughuli inayofanywa duniani,+ kwa sababu kuna mtu ambaye macho yake hayapati usingizi, mchana wala usiku.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki