Methali 14:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Hekima hukaa moyoni mwa mtu mwenye uelewaji,+ nayo hujulikana kati ya wajinga. Methali 22:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Tega sikio lako usikie maneno ya wenye hekima,+ ili kuutia moyo wako katika ujuzi wangu.+ Mhubiri 7:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Mimi mwenyewe niligeuka, hata moyo wangu ukageuka,+ nipate kujua na kuchunguza na kutafuta hekima+ na sababu ya mambo,+ na kujua juu ya uovu wa ujinga na upumbavu wa wazimu;+
25 Mimi mwenyewe niligeuka, hata moyo wangu ukageuka,+ nipate kujua na kuchunguza na kutafuta hekima+ na sababu ya mambo,+ na kujua juu ya uovu wa ujinga na upumbavu wa wazimu;+