Zaburi 49:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kinywa changu mwenyewe kitasema mambo ya hekima,+Na moyo wangu utatafakari mambo ya uelewaji.+ Methali 15:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Moyo wa mwadilifu hutafakari ili kujibu,+ lakini kinywa cha waovu hububujika mambo mabaya.+