Methali 17:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa nini mjinga ana uwezo mkononi mwake wa kujipatia hekima,+ hali yeye hana utambuzi wa moyo?+ Mhubiri 10:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na mpumbavu husema maneno mengi.+ Mwanadamu hajui jinsi mambo yatakavyokuwa; na yale yatakayotokea baada yake, ni nani anayeweza kumwambia?+ Mathayo 25:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 “Ndipo naye atawaambia, wale walio kwenye mkono wake wa kushoto, ‘Tokeni kwangu mwende zenu,+ ninyi ambao mmelaaniwa, mkaingie katika moto wa milele+ aliotayarishiwa Ibilisi na malaika zake.+
14 Na mpumbavu husema maneno mengi.+ Mwanadamu hajui jinsi mambo yatakavyokuwa; na yale yatakayotokea baada yake, ni nani anayeweza kumwambia?+
41 “Ndipo naye atawaambia, wale walio kwenye mkono wake wa kushoto, ‘Tokeni kwangu mwende zenu,+ ninyi ambao mmelaaniwa, mkaingie katika moto wa milele+ aliotayarishiwa Ibilisi na malaika zake.+