22 “Ninyi msio na uzoefu mtaendelea mpaka wakati gani kupenda kutokuwa na ujuzi?+ Nanyi wenye dhihaka mtaendelea mpaka wakati gani kujitakia dhihaka tupu?+ Nanyi wajinga mtaendelea mpaka wakati gani kuchukia ujuzi?+
20 Kwa maana sifa zake ambazo hazionekani,+ zinaonekana waziwazi tangu kuumbwa kwa ulimwengu na kuendelea,+ kwa sababu zinaeleweka kwa vitu vilivyofanywa,+ yaani, nguvu zake za milele+ na Uungu,+ hivi kwamba hawana sababu ya kujitetea.+
21 Kwa sababu, ijapokuwa walimjua Mungu, hawakumtukuza yeye kuwa Mungu wala hawakumshukuru,+ bali wakawa wajinga+ katika kufikiri kwao na moyo wao usio na ufahamu ukaingiwa na giza.+