Methali 20:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa sababu ya majira ya baridi kali mvivu hatalima;+ atakuwa akiombaomba wakati wa mavuno, lakini hapatakuwa na chochote.+ Methali 24:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 nao umaskini wako utakuja kama mnyang’anyi wa njia kuu na uhitaji wako kama mwanamume mwenye silaha.+
4 Kwa sababu ya majira ya baridi kali mvivu hatalima;+ atakuwa akiombaomba wakati wa mavuno, lakini hapatakuwa na chochote.+
34 nao umaskini wako utakuja kama mnyang’anyi wa njia kuu na uhitaji wako kama mwanamume mwenye silaha.+