7 Jinsi inavyopendeza juu ya milima miguu+ ya yeye anayeleta habari njema,+ yeye anayetangaza amani,+ yeye anayeleta habari njema za jambo bora,+ yeye anayetangaza wokovu,+ yeye anayeuambia Sayuni: “Mungu wako amekuwa mfalme!”+
15 Nao watahubirije isipokuwa wawe wametumwa?+ Kama ilivyoandikwa: “Jinsi ilivyo yenye kupendeza miguu ya wale wanaotangaza habari njema ya mambo mema!”+