2 Wakorintho 7:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa hiyo, wapendwa, kwa kuwa tuna ahadi hizi,+ acheni tujisafishe+ wenyewe kila unajisi wa mwili na roho,+ tukiukamilisha utakatifu katika kumwogopa Mungu.+ Wagalatia 5:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 upole, kujizuia.+ Hakuna sheria juu ya mambo hayo.+ 1 Petro 3:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 kwa sababu wamekwisha kushuhudia kwa macho mwenendo+ wenu ulio safi kiadili pamoja na heshima kubwa.
7 Kwa hiyo, wapendwa, kwa kuwa tuna ahadi hizi,+ acheni tujisafishe+ wenyewe kila unajisi wa mwili na roho,+ tukiukamilisha utakatifu katika kumwogopa Mungu.+
2 kwa sababu wamekwisha kushuhudia kwa macho mwenendo+ wenu ulio safi kiadili pamoja na heshima kubwa.