1 Samweli 18:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Basi Mikali,+ binti ya Sauli, alikuwa anampenda Daudi, nao wakamletea Sauli habari hiyo, na jambo hilo likampendeza. Wimbo wa Sulemani 5:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Nimewaapisha+ ninyi, enyi binti za Yerusalemu,+ kwamba, mkimpata mpenzi wangu,+ mwambieni kuwa mimi nimelewa mapenzi.”+
20 Basi Mikali,+ binti ya Sauli, alikuwa anampenda Daudi, nao wakamletea Sauli habari hiyo, na jambo hilo likampendeza.
8 “Nimewaapisha+ ninyi, enyi binti za Yerusalemu,+ kwamba, mkimpata mpenzi wangu,+ mwambieni kuwa mimi nimelewa mapenzi.”+