Waamuzi 15:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Na Samsoni akaondoka, akaenda zake, akawakamata mbweha+ mia tatu, akachukua mienge na kuwageuza mkia kwa mkia na kuweka mwenge mmoja kati ya mikia miwili, katikati kabisa. Maombolezo 5:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa sababu ya mlima wa Sayuni ambao umefanywa ukiwa;+ mbweha wametembea juu yake.+
4 Na Samsoni akaondoka, akaenda zake, akawakamata mbweha+ mia tatu, akachukua mienge na kuwageuza mkia kwa mkia na kuweka mwenge mmoja kati ya mikia miwili, katikati kabisa.