Wimbo wa Sulemani 2:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 “Tukamatieni mbweha,+ wale mbweha wadogo wanaoharibu mashamba ya mizabibu, kwa maana mashamba yetu ya mizabibu yamechanua.”+ Maombolezo 5:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa sababu ya mlima wa Sayuni ambao umefanywa ukiwa;+ mbweha wametembea juu yake.+
15 “Tukamatieni mbweha,+ wale mbweha wadogo wanaoharibu mashamba ya mizabibu, kwa maana mashamba yetu ya mizabibu yamechanua.”+