Zaburi 46:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “Salimuni amri, na mjue ya kwamba mimi ni Mungu.+Nitatukuzwa kati ya mataifa,+Nitatukuzwa duniani.”+ Zaburi 66:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mwambieni Mungu: “Jinsi kazi zako zilivyo zenye kuogopesha!+Kwa sababu ya wingi wa nguvu zako, adui zako watakujia wakitetemeka.+ Zaburi 83:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Ujaze nyuso zao aibu,+Ili watu wapate kulitafuta jina lako, Ee Yehova.+ Ezekieli 38:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Nami hakika nitajitukuza mwenyewe na kujitakasa mwenyewe+ na kujijulisha mwenyewe mbele ya macho ya mataifa mengi; nao watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova.’+
10 “Salimuni amri, na mjue ya kwamba mimi ni Mungu.+Nitatukuzwa kati ya mataifa,+Nitatukuzwa duniani.”+
3 Mwambieni Mungu: “Jinsi kazi zako zilivyo zenye kuogopesha!+Kwa sababu ya wingi wa nguvu zako, adui zako watakujia wakitetemeka.+
23 Nami hakika nitajitukuza mwenyewe na kujitakasa mwenyewe+ na kujijulisha mwenyewe mbele ya macho ya mataifa mengi; nao watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova.’+