20 Na itatukia hakika katika siku hiyo kwamba yale mabaki ya Israeli+ na wale walioponyoka wa nyumba ya Yakobo hawatamtegemea tena kamwe yule anayewapiga,+ nao hakika watamtegemea Yehova, Mtakatifu wa Israeli,+ katika ukweli.+
33 Yehova wa majeshi amesema hivi: “Wana wa Israeli na wana wa Yuda wanakandamizwa pamoja, na wale wote wanaowachukua mateka wamewashika.+ Wamekataa kuwaachilia waende zao.+