17 Yehova ataleta juu yenu+ na juu ya watu wenu na juu ya nyumba ya baba yako siku ambazo hazijaja tangu siku ile Efraimu alipoondoka kando ya Yuda,+ yaani, mfalme wa Ashuru.+
20 “Katika siku hiyo, kwa kutumia wembe uliokodiwa katika eneo la ule Mto,+ kwa kumtumia mfalme wa Ashuru,+ Yehova atakinyoa kichwa na nywele za miguu, nao utafagilia mbali hata ndevu.+