Zaburi 81:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Lakini watu wangu hawakuisikiliza sauti yangu;+Na Israeli hakuonyesha utayari wowote kunielekea.+ Yeremia 44:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “Kuhusu lile neno ambalo umetuambia katika jina la Yehova, sisi hatutakusikiliza;+