Mambo ya Walawi 19:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 “‘Mtazishika sheria zangu: Usiwafanye wanyama wako wa kufugwa wa aina mbili wazaane. Usilipande shamba lako aina mbili za mbegu,+ nawe usivae vazi la aina mbili za nyuzi, zilizochanganywa.+
19 “‘Mtazishika sheria zangu: Usiwafanye wanyama wako wa kufugwa wa aina mbili wazaane. Usilipande shamba lako aina mbili za mbegu,+ nawe usivae vazi la aina mbili za nyuzi, zilizochanganywa.+