Isaya 21:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Enyi watu wangu waliopurwa na mwana wa uwanja wangu wa kupuria,+ nimewaletea ninyi habari za yale ambayo nimeyasikia kutoka kwa Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli. 1 Wakorintho 9:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa maana katika sheria ya Musa imeandikwa: “Hupaswi kumfunga kinywa ng’ombe-dume anapopura nafaka.”+ Je, ni ng’ombe ambao Mungu anajali?
10 Enyi watu wangu waliopurwa na mwana wa uwanja wangu wa kupuria,+ nimewaletea ninyi habari za yale ambayo nimeyasikia kutoka kwa Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli.
9 Kwa maana katika sheria ya Musa imeandikwa: “Hupaswi kumfunga kinywa ng’ombe-dume anapopura nafaka.”+ Je, ni ng’ombe ambao Mungu anajali?