Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 8:46
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 46 “Nao wakikutendea dhambi+ (kwa sababu hakuna mwanadamu asiyetenda dhambi),+ nawe uwakasirikie na kuwatia mkononi mwa adui, na wenye kuwateka wawachukue mateka na kuwapeleka katika nchi ya adui iliyo mbali au iliyo karibu;+

  • 2 Wafalme 13:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kwa maana hakuwa amemwachia Yehoahazi watu wowote isipokuwa wapanda-farasi 50 na magari 10 na watu 10,000 wanaoenda kwa miguu,+ kwa sababu mfalme wa Siria alikuwa amewaharibu,+ ili awafanye kuwa kama mavumbi wakati wa kupura.+

  • Isaya 1:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Nami nitaugeuza mkono wangu juu yako, nitayeyusha takataka yako kana kwamba kwa sabuni, nitaondoa uchafu wako wote.+

  • Mathayo 3:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Sepetu yake ya kupepetea imo mkononi mwake, naye atausafisha uwanja wake wa kupuria, na kukusanya ngano yake katika ghala+ lakini makapi atayateketeza kwa moto+ usioweza kuzimwa.”

  • Waebrania 12:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 kwa maana yeye ambaye Yehova anampenda, humtia nidhamu; kwa kweli, humpiga fimbo kila mtu ambaye yeye humpokea kuwa mwana.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki