44 Na hata hivyo pamoja na yote hayo, huku wakiendelea kukaa katika nchi ya adui zao, hakika sitawakataa+ wala kuwachukia+ ili kuwaangamiza, na kulivunja agano+ langu pamoja nao; kwa maana mimi ni Yehova Mungu wao.
20 Na itatukia hakika katika siku hiyo kwamba yale mabaki ya Israeli+ na wale walioponyoka wa nyumba ya Yakobo hawatamtegemea tena kamwe yule anayewapiga,+ nao hakika watamtegemea Yehova, Mtakatifu wa Israeli,+ katika ukweli.+