Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 7:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Wale wenye ukoma walipofika kandokando ya ile kambi, ndipo wakaingia ndani ya hema moja, wakaanza kula na kunywa na kuchukua kutoka humo fedha na dhahabu na mavazi, wakaenda kuvificha. Kisha wakarudi na kuingia katika hema lingine, wakachukua vitu kutoka humo na kwenda kuvificha.+

  • Isaya 33:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Na nyara+ yenu kwa kweli itakusanywa kama wakati mende wanapokusanyika, kama mmiminiko wa makundi ya nzige unaomiminika juu ya mtu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki