Isaya 34:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Miiba itatokea kwenye minara yake ya makao, upupu na magugu yenye miiba katika mahali pake penye ngome;+ naye atakuwa makao ya mbwa-mwitu,+ ua kwa ajili ya mbuni.+ Yeremia 9:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nami nitafanya Yerusalemu kuwa rundo la mawe,+ mapango ya mbwa-mwitu;+ na majiji ya Yuda nitayafanya kuwa mahame yenye ukiwa, bila mkaaji.+
13 Miiba itatokea kwenye minara yake ya makao, upupu na magugu yenye miiba katika mahali pake penye ngome;+ naye atakuwa makao ya mbwa-mwitu,+ ua kwa ajili ya mbuni.+
11 Nami nitafanya Yerusalemu kuwa rundo la mawe,+ mapango ya mbwa-mwitu;+ na majiji ya Yuda nitayafanya kuwa mahame yenye ukiwa, bila mkaaji.+