Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 32:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Kwa hiyo Yehova akamwokoa Hezekia na wakaaji wa Yerusalemu kutoka mkononi mwa Senakeribu mfalme wa Ashuru+ na kutoka mkononi mwa wengine wote na kuwapa pumziko kuzunguka pande zote.+

  • Isaya 10:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Kungali ni mchana kutua Nobu.+ Yeye anatikisa mkono wake kwa kutishia mlima wa binti Sayuni, kilima cha Yerusalemu.+

  • Isaya 33:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Tazama Sayuni,+ mji wa pindi zetu za sherehe!+ Macho yako mwenyewe yataliona Yerusalemu likiwa makao yasiyo na usumbufu, hema ambalo hakuna atakayelikunja.+ Vigingi vyake vya mahema havitang’olewa kamwe, wala hata kamba yake moja haitakatwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki