2 Wafalme 19:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Atarudi kupitia ile njia aliyoijia, naye hataingia ndani ya jiji hili, asema Yehova.+ Methali 21:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Hakuna hekima, wala utambuzi wowote, wala shauri lolote, katika kumpinga Yehova.+