7 Jinsi inavyopendeza juu ya milima miguu+ ya yeye anayeleta habari njema,+ yeye anayetangaza amani,+ yeye anayeleta habari njema za jambo bora,+ yeye anayetangaza wokovu,+ yeye anayeuambia Sayuni: “Mungu wako amekuwa mfalme!”+
18 Hata hivyo nauliza, Je, walikosa kusikia? Kwani, kwa kweli, “sauti yao ilifika+ katika dunia yote, na maneno yao mpaka miisho ya dunia inayokaliwa.”+