Zaburi 92:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Wale ambao wamepandwa katika nyumba ya Yehova,+Katika nyua za Mungu wetu,+ watachanuka. Isaya 61:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana kama vile dunia inavyotoa chipukizi lake, na kama vile bustani inavyochipusha vitu vilivyopandwa ndani yake,+ ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova atakavyotoa chipukizi la uadilifu+ na la sifa mbele ya mataifa yote.+ Matendo 2:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Kwa hiyo wale waliokubali neno lake kwa ukunjufu wa moyo wakabatizwa,+ na katika siku hiyo nafsi karibu elfu tatu zikaongezwa.+
11 Kwa maana kama vile dunia inavyotoa chipukizi lake, na kama vile bustani inavyochipusha vitu vilivyopandwa ndani yake,+ ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova atakavyotoa chipukizi la uadilifu+ na la sifa mbele ya mataifa yote.+
41 Kwa hiyo wale waliokubali neno lake kwa ukunjufu wa moyo wakabatizwa,+ na katika siku hiyo nafsi karibu elfu tatu zikaongezwa.+