Zaburi 64:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na mwadilifu atashangilia katika Yehova na kwa kweli atamkimbilia;+Nao wote walio wanyoofu moyoni watajisifu.+ 2 Wakorintho 10:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “Bali yeye anayejisifu, na ajisifu katika Yehova.”+
10 Na mwadilifu atashangilia katika Yehova na kwa kweli atamkimbilia;+Nao wote walio wanyoofu moyoni watajisifu.+