Zaburi 10:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Amesema katika moyo wake: “Sitatikiswa;+Kizazi baada ya kizazi sitakuwa katika msiba.”+ Ufunuo 18:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa kadiri alivyojitukuza mwenyewe na kuishi katika anasa isiyo na aibu, kwa kadiri hiyo mpeni mateso na maombolezo.+ Kwa maana moyoni mwake anaendelea kusema, ‘Ninaketi nikiwa malkia,+ nami si mjane,+ nami sitaona maombolezo kamwe.’+
7 Kwa kadiri alivyojitukuza mwenyewe na kuishi katika anasa isiyo na aibu, kwa kadiri hiyo mpeni mateso na maombolezo.+ Kwa maana moyoni mwake anaendelea kusema, ‘Ninaketi nikiwa malkia,+ nami si mjane,+ nami sitaona maombolezo kamwe.’+