16 Kwa hiyo wale wote wanaokumeza nao wenyewe watamezwa;+ nao adui zako wote, wote wataenda utekwani.+ Na wale wanaokupora hakika wataporwa, na wale wote wanaokunyakua nitawatoa wanyakuliwe.”+
34 “Nebukadreza mfalme wa Babiloni amenila;+ amenivuruga. Ameniweka kuwa kama chombo kitupu. Amenimeza kama nyoka mkubwa;+ amelijaza tumbo lake kwa vitu vyangu vyenye kupendeza. Amenioshea mbali.