Yeremia 51:44 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 44 Nami nitakaza fikira zangu juu ya Beli+ katika Babiloni, nami nitatoa katika kinywa chake kile ambacho amemeza.+ Na mataifa hayatamiminika kwake tena.+ Pia, lazima ukuta wenyewe wa Babiloni uanguke.+ Maombolezo 2:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Adui zako wote wamefungua vinywa vyao juu yako.+Wamepiga mluzi wa mshangao na kuendelea kusaga meno.+ Wamesema: “Tutammeza.+Kweli hii ndiyo siku ambayo tumeitumaini.+ Tumepata! Tumeona!”+
44 Nami nitakaza fikira zangu juu ya Beli+ katika Babiloni, nami nitatoa katika kinywa chake kile ambacho amemeza.+ Na mataifa hayatamiminika kwake tena.+ Pia, lazima ukuta wenyewe wa Babiloni uanguke.+
16 Adui zako wote wamefungua vinywa vyao juu yako.+Wamepiga mluzi wa mshangao na kuendelea kusaga meno.+ Wamesema: “Tutammeza.+Kweli hii ndiyo siku ambayo tumeitumaini.+ Tumepata! Tumeona!”+