Zaburi 105:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Jisifuni katika jina lake takatifu.+Moyo wa wale wanaomtafuta Yehova na ushangilie.+ Waroma 10:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa maana “kila mtu anayeliitia jina la Yehova ataokolewa.”+